Mbwana Samatta wa Genk akimtoka beki wa Zulte Waregem.

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.

Viongozi na wanariadha wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mzee Ibrahim Akilimali (kushoto) Katibu wa Baraza la Wazee la klabu ya Yanga.

Wanariadha wakichuana katika moja ya michuano ya Afrika Mashariki.

Kikosi cha timu ya taifa ya riadha ya Tanzania.

Kikosi kamili cha timu ya Yanga.
Mchezaji wa Serengeti Boys akiwatoka wachezaji wa Misri wakati timu hizo zilipokutana hivi karibuni nchini
Baadhi ya wanachama na mashabiki wa klabu ya soka ya Simba wakiwa na mabango makao makuu ya klabu hiyo.

Kikosi cha timu ya soka ya Yanga.

Logo ya ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL.

Logo ya ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL.
Wachezaji wa Coastal Union wakishangilia moja ya magoli yao mawili waliyoifunga Simba katika mchezo wa robo fainali ya TFF- FA.

Kikosi cha timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam.

Kikosi cha timu ya soka ya Azam fc kikiwa katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Chamazi.