Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la EAC Prf. Mayunga Nkunya

Rais Mstaafu wa awamu ya pili nchini Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
Timu za mpira wa pete zikichuana katika moja ya michuano ya majeshi EA.

Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Freeman Mbowe.
Wanamichezo toka chuo kikuu cha Mkwawa wakipita kwa maandamano ya ufunguzi wa mashindano ya vyuo vikuu Afrika Mashariki mwaka 2013 yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Balozi wa umoja wa Ulaya hapa nchini Tanzania Bw. Filiberto Sebregondi

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, samwel Sitta

Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamini Mkapa