Emmanuel Mbasha nje kwa dhamana

Emmanuel Mbasha

Mwanamuziki wa muziki wa Injili Emmanuel Mbasha amefanikiwa kutoka kwa dhamana baada ya hii leo kutimiza masharti ya dhamana katika kesi ya kubaka inayomkabili kwenye Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS