Maurice Kirya kuimba mgahawani
Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Maurice Kirya baada ya kufanikiwa kuiweka vizuri biashara yake ya mgahawa huko nchini Uganda, ameamua kuongezea vionjo kwa kuwa anatoa burudani ya muziki wa Live mara moja kila mwezi ndani ya mgahawa huu.