Mashali asaini kuzichapa na Nyilawila.

Katika picha hii ya maktaba, bondia Thomas Mashali(kulia) anaonekana akiwa na Yassin Abdallah Ustaadh katika ofisi za TPBO Ltd. Bondia huyo amesaini kupigana na Kalama Nyilawila, Mei Mosi mwaka huu.

Mabondia Thomas Mashali na Kalama Nyilawila, wamesaini mkataba wa kupanda ulingoni kuwania ubingwa wa UBO-Continental, katika pambano la raundi 10 litakalofanyika Mei 1,2014, katika ukumbi wa Karume ndani ya viwanja vya maonesho ya Mwalimu Nyerere.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS