Ras Six ambaye ni mlemavu wa ngozi ameielezea eNewz kuwa mradi huu mpya utakuwa pia ukipewa sapoti na mashirika mbalimbali yaliyojitolea kuwasaidia walemavu hao yaitwayo CEFA na Vipaji Foundation.
Ras Six hivi sasa amefyatua single yake mpya inayoitwa 'NO' ambayo imerekodiwa na mtayarishaji maarufu nchini Fundi Samweli na ipo mbioni kutoka rasmi mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka huu.