Polisi wakamata silaha iliyotumika kwa mauaji

Moja ya bunduki aina ya SMG iliyokamatwa kutoka katika matukio ya kihalifu

Jeshi la polisi Zanzibar limefanikiwa kukamata silaha mbili ikiwemo aina ya SMG iliyotumika katika tukio la ujambazi ambalo lilisababisha kifo cha askari polisi na mwengine kujeruhiwa vibaya mwezi uliopita kwenye ukanda wa Kitalii eneo la Pongwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS