Mbio za Mwenge zapambana na Malaria Kigoma

Kiongozi wa mbio za mwenge Racheal kassanda akikabidhi mwenge kwa makamu wa Rais Dkt Bilal wakati wa uzinduzi wa mbio hizo mwezi April mwaka huu mjini Bukoba

Mbio za mwenge wa uhuru nchini zimekuwa na manufaa mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhamasisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa malaria nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS