Mjumbe wa bunge maalumu la katiba na naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF (Tanzania Bara) Julius Mtatiro
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Julius Mtatiro ameonyesha hofu yake juu ya uwezekano wa mchakato wa kupata Katiba mpya ya Tanzania kukamilika kwa wakati kutokana na kukabilwa na changamoto nyingi.