Bodi ya ligi yasifu nidhamu na ushindani

Amis Tambwe wa Simba akishangilia moja kati ya mabao yake 19 aliyoifungia timu yake nakuibuka mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2013/2014

Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imesema iko katika mikakati ya kuhakikisha ligi kuu ya msimu ujao wa 2014/2015 inakuwa bora zaidi kuliko msimu uliomalizika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS