Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya kufunga goli katika moja ya michezo ya ligi kuu.
Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, imesema mchakato wa kuanza kuchukua fomu za kugombea nafasi za Uongozi katika klabu hiyo, unaendelea vizuri baada ya kamati hiyo kukutana hapo jana