Maabara Tatu Tanzania zimepata hati ya Ubora

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Seif Rashid

Maabara kubwa tatu nchini Tanzania leo zimekabidhiwa hati ya ubora na nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Africa SADC pamoja na taasisi mbalimbali za kimataifa ambapo maabara hizo sasa zitakuwa zikitoa huduma kwa kiwango cha kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS