Sokoine Marathon Kutimka.

Mary Naali, Mwanariadha wa Tanzania

Wanariadha  nyota  kutoka  maeneo  mbalimbali nchini  kesho  wanatarajiwa  kuchuana vikali  katika  mbio za kilomita 10, zinazofahamika kwa jina la  Sokoine  Marathoni  zinafanyika  wilayani monduli  mkoani  Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS