Magufuli, Dkt Bilal na Kova wanusurika Kifo

Helkopta iliyokuwa imebeba baadhi ya viongozi na kupata ajali hii leo jijini DSM.

Makamu wa Rais wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli pamoja na RPC Suleman Kova wamenusurika katika ajali baada helkopta waliyokuwa wamepanda kupata hitilafu wakati ikiruka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS