Wachezaji wa ligi kuu Tanzania Bara wakichuana katika moja ya mechi.
Michuano ya Ligi Kuu ya soka ya Tanzania bara kuwania ubingwa inaendelea kesho katika raundi ya 25 ambapo Tanzania Prisons na Rhino Rangers zitaumana katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, jijini Mbeya.