Nimpende nani? ni filamu ya kiswahili inayohusiana na kijana anayefananishwa sana namwanamziki (Diamond). kijana huyu ndo anachipukia katika muziki. Kama kawaida anakutana na vikwazo mbalimbali kuelekea katika mafanikio yake.
Submitted by Joseph Salam on Saturday , 3rd May , 2014