Washindi Kili Awards kujulikana leo
Baada ya mchakato mzima wa kuwachagua wasanii wa muziki wanaostahili kuwania tuzo kubwa za muziki hapa Tanzania za Kilimanjaro kwa mwaka 2014, kuwapigia kura katika vipengele mbalimbali, hatimaye leo hii washindi wanaondoka na tuzo zao.