Temeke, Kinondoni kumaliza ubishi BBall Kitaa
Baada ya kumaliza kwa kufungana mchezo mmoja mmoja katika fainali mbili zilizotanguliwa kabla ya fainali ya tatu ambayo iliahirishwa kutokana na giza kuingia katika uwanja wa Spider Gymkhana jijini Dar es salaam kesho mzizi wa fitina unakatwa
