Temeke, Kinondoni kumaliza ubishi BBall Kitaa

Wachezaji wa timu za ukanda wa Temeke na Kinondoni wakichuana katika michuano ya BBall Kitaa

Baada ya kumaliza kwa kufungana mchezo mmoja mmoja katika fainali mbili zilizotanguliwa kabla ya fainali ya tatu ambayo iliahirishwa kutokana na giza kuingia katika uwanja wa Spider Gymkhana jijini Dar es salaam kesho mzizi wa fitina unakatwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS