Serikali yakana kuhusika ucheleweshaji mishahara Waziri wa fedha na uchumi wa Tanzania Bi.Saada Mkuya Salum. Serikali ya Tanzania imesema mishahara ya walimu imechelewa katika baadhi ya mikoa kutokana na matatizo ya kibenki yaliyojitokeza na si ucheleweshaji uliofanywa na serikali. Read more about Serikali yakana kuhusika ucheleweshaji mishahara