Bad Black mahakamani tena

Bad Black chini ya ulinzi

Mwanadada Bad Black, bado anaendelea kukabiliana na mashtaka yake ya ubadhirifu wa fedha huko nchini Uganda, ambapo amefikishwa tena mahakamani kwa kushindwa kulipa deni la shilingi milioni 105 za Uganda alizoazima kwa kuweka bondi gari lake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS