Serikali kusimamia haki za binadamu kwa mahabusu

Maofisa wa polisi wakiwa wamemshikilia mtuhumiwa wa kesi ya mauaji anayedaiwa kuvua nguo hadharani mkoani Mwanza jana, akiishinikiza mahakama iharakishe kusikiliza kesi inayomkabili.

Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Tanzania, imezungumzia tukio lililotokea jana mkoani Mwanza ambapo mtuhumiwa wa kesi ya mauaji alivua nguo kama ishara ya kupinga kuchelewesa kusikilizwa kwa kesi inayomkabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS