Kamati ya usajili Simba kukutana kesho

Kocha mkuu wa Simba Zdravko Logarusic ambaye atawasili wiki ijayo akitokea nchini kwao Croatia alikokua mapumzikoni.

Kamati ya usajili ya klabu ya Simba kufanya kikao kizito cha kujadili mapendekezo ya kocha Logarusic watatoa maamuzi ya mwisho ya juu ya nani anasajiliwa na nani anaachwa katika kikosi cha msimu ujao wa ligi kuu bara VPL

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS