Klabu ya TASWA yaongeza mchezo wa masumbwi

Kikosi cha timu ya soka ya TWASA ambayo ni moja ya michezo iliyokatika klabu hiyo ikiwemo netball na sasa masumbwi

Klabu ya michezo ya chama cha waandishi wa habari za michezo nchini Tanzania TASWA kimemwongeza bondia Thomas Mashali katika benchi la ufundi la klabu hiyo akiwa kama mkuu wa mafunzo ya mchezo wa masumbwi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS