Mbunge asisitiza haki kwa watu wenye ulemavu

Huduma za msingi kama baiskeli za magurudumu matatu ni muhimu na haki kwa watu wenye ulemavu wa viungo.

Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi CCM nchini Tanzania Mh. Magreth Mkanga ameikumbusha serikali kuhakikisha kwamba inatenda haki kwa watu wenye ulemavu hasa katika masuala ya upatikanaji wa huduma za afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS