Mulumba, Totoo waunganisha nguvu
Wanamuziki maarufu wa muziki wa dansi nchini Tanzania Allan Mulumba Kashama na Totoo Ze Bingwa wameungana kwa pamoja na kuunda kundi jipya walilolibatiza jina 'Bonavida Brothers' ambalo limeanza kuwateka mashabiki na wadau wa muziki Afrika Mashariki.

.jpg?itok=ncesC9Kb)