Oliver Mtukudzi atunukiwa udaktari

Mwanamuziki Oliver Mtukudzi wa Zimbabwe

Msanii mkongwe anayekubalika zaidi nchini Zimbabwe na nje ya Zimbabwe Oliver Mtukudzi amepatiwa shahada ya heshima ya udaktari kutokana na moyo wake wa upendo anaouonesha kwa binadamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS