Msigwa aanika 'uozo' vitalu vya uwindaji
Waziri kivuli wa maliasili na utalii mchungaji Peter Msigwa ameonesha mkanda wa video na kuanika kile alichookiita kuwa ni uozo na ukiukwaji mkubwa wa sheria ya wanyama pori unaofanywa kupitia vitalu vya uwindaji.

