Ustawi wa Taifa Umeathiriwa na Vurugu za Wananchi
Kukithiri kwa vitendo vinavyosababisha uvunjifu wa amani na matatizo mbalimbali nchini Tanzania kumetajwa kuwa husababishwa na wananchi wenyewe na hupelekea kuathiri kwa kiasi kikubwa ustawi wa taifa na mustakabali wa nchi na vizazi vijavyo.

