Ustawi wa Taifa Umeathiriwa na Vurugu za Wananchi

Wananchi wakiandamana mkoani Mtwara Kupinga ujenzi wa Bomba la gesi

Kukithiri kwa vitendo vinavyosababisha uvunjifu wa amani na matatizo mbalimbali nchini Tanzania kumetajwa kuwa husababishwa na wananchi wenyewe na hupelekea kuathiri kwa kiasi kikubwa ustawi wa taifa na mustakabali wa nchi na vizazi vijavyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS