JK ateta na Kabila kuhusu usalama DRC

Rais Kikwete wa Tanzania (Kushoto) akifanya mazungumzo na Rais kabila wa DRC (Kulia)

Rais Jakaya Kikwete amewasili mjini Kinshasa , Jamhuri ya Watu wa Kongo (DRC)tarehe 9 Mei,2014 kwa ziara ya kikazi akitokea nchini Nigeria ambapo amehudhuria Mkutano wa Viongozi kuhusu Uchumi barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS