Baadhi ya watoto wasiojiweza wanaolelewa katika kituo cha Kimbangulile.
Jamii ya Watanzania wenye uwezo kiuchumi wametakiwa kutumia sehemu ya uwezo wao kushiriki na watoto yatima na wenye uhitaji ili kujenga jamii yenye kuonesha upendo kwa wenye mazingira magumu.