Kamati ya Tanzania kwanza kuhamasisha amani
Kamati ya Tanzania Kwanza nje ya Bunge imeandaa mikutano ya hadhara itakayofanyika nchi nzima yenye lengo la kuhamasisha Amani kwa wananchi wa Tanzania hasa wakati huu ambapo nchi ipo katika mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya.