WHO yasema janga la kibinadamu latishia Tanzania

Visa vya Kipindupindi bado tishio Kambi ya Wakimbizi wa Tanzania.

Shirika la afya duniani, WHO limesema janga kubwa la kibinadamu linachipuka Tanzania kutokana na maelfu ya wakimbizi wa Burundi kuendelea kumiminika nchini kusaka hifadhi kutokana na mvutano wa kisiasa nchini mwao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS