Kaeni na walimu kupunguza madai-RAS Iringa

Katibu tawala wa Mkoa wa Iringa Bi.Wamoja Ayubu.

Wakurugenzi wa halmashauri za wilaya mkoani Iringa wametakiwa kufanya vikao vya mara kwa mara na walimu na wadau mbalimbali wa elimu ili kupunguza madai yao kwa serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS