Size 8 awa fiti kurejea kazini

msanii wa muziki wa nchini Kenya Size 8

Hali ya kiafya ya msanii wa muziki Size 8 wa nchini Kenya, imeripotiwa kuimarika kwa kiasi kikubwa hasa baada ya kutoka hospitali alipokuwa amelazwa, shida yake kubwa ikielezwa kuwa ni presha ya kupanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS