Wananchi jitokezeni kura ya maoni- Dumba Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Sarah Dumba. Serikali mkoani Njombe imewataka wakazi wa mkoa huo kuhakikisha wanajitoikeza kwa wingi kupigia kura Katiba Pendekezwa kama walivyojiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura. Read more about Wananchi jitokezeni kura ya maoni- Dumba