Wanafunzi UDOM waendelea na mgomo kwa siku ya pili

Wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Kitivo Cha Sayansi Ya Jamii Na Lugha Wakusanyika Kusikiliza Maelekezo Kutoka Kwa Raisi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma (Udom) kitivo cha elimu jana waliendelea na mgomo wao wa siku tatu wa kutoingia madarasani kwa madai ya kutoingiziwa fedha zao za kujikimu kwa muda wa miezi mitatu sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS