Pikipiki,bajaji zitumie muda uliobaki kujisajili

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Iringa Rosalia Mwenda akitoa taarifa kwa vyombo vya habari ofisini kwake.

Mamlaka ya mapato TRA mkoani Iringa kupitia idara ya huduma na elimu kwa mlipakodi imewataka wamiliki wa pikipiki na bajaji kutumia kikamilifu muda ulioongezwa kusajili pikipiki zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS