EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Uchumi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura)Felix Ngamlagosi (kulia) akitangaza bei mpya za mafuta

Kutoka na Kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania bei ya petrol imeendelea kupanda baada ya mamlaka ya udhibiti wa huduma za Nishati na Maji EWURA, kutangaza ongezeko la sh. 11 wakati dizel ikipanda kwa shilingi 23.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS