Mbunge Mwaiposa azikwa leo Dar es salaam

Jeneza lenye mwili wa marehemu muda mfupi kabla ya maziko

Dkt Mohamed Gharib Bilal amewaongoza mamia ya wakazi wa jimbo la Ukonga katika maziko ya aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Ukonga jijini Dar es salaam, Mh. Eugen Mwaiposa yaliyofanyika nyumbani kwake Kipunguni B jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS