1852 waingia nchini kutokana na vurugu za Burundi

Vikosi vya usalama vikikabiliana na waandamanaji wanaopinga rais Pierre Nkurunziza kuwani urais kwa awamu ya tatu huko nchini Burundi.

Raia wa Burundi 1852 wameingia nchini Tanzania na sasa wanahifadhiwa katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, wakikimbia vurugu zinazoendelea nchini mwao, baada ya Pais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwa atawania urais kwa awamu ya tatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS