1852 waingia nchini kutokana na vurugu za Burundi
Raia wa Burundi 1852 wameingia nchini Tanzania na sasa wanahifadhiwa katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, wakikimbia vurugu zinazoendelea nchini mwao, baada ya Pais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwa atawania urais kwa awamu ya tatu.