Mabadiliko yamyumbisha Dullayo

Dullayo

Msanii wa muziki Dullayo ameeleza kuwa, mabadiliko makubwa ambayo yametokea katika muziki kwa sasa, ndio sababu pekee ambayo imeyumbisha nyota yake na kuonekana kuwa hafanyi vizuri kama kipindi cha nyuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS