Joh Makini: Hip Hop jukumu letu msanii wa Hip hop wa kundi la Weusi Joh Makini Staa wa muziki Joh Makini ameweka wazi kuwa, kupokelewa vizuri kwa kazi zake na mafanikio kwa ujumla ni kutokana na yeye kuishi maisha ya muziki huo kama uhalisia na kuifanya Hip Hop ya Tanzania ijulikane kimataifa. Read more about Joh Makini: Hip Hop jukumu letu