BVR Kigoma yalalamikiwa
Zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoronik BVR umelalamikiwa na wananchi katika manispaa ya Kigoma Ujiji kutokana na kuchelewa kuandikishwa licha ya wananchi kulala kwa zaidi ya siku mbili katika vituo vya kuandikishia.