Umati wajitokeza kumlaki Lowassa Mwanza Waziri mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa ameanza ziara ya kutafuta wanachama wa kumdhamini katika mbio zake za urais katika mikoa kumi na mitano ya Tanzania Bara na visiwani. Read more about Umati wajitokeza kumlaki Lowassa Mwanza