Ratiba ya kujiandikisha BVR Morogoro yazua utata

Foleni ya mawe yalipangwa kwa namba na majina na wananchi kwa lengo la kushika nafasi

Zoezi la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Morogoro limeingia dosari baada ya kushindwa kuanza rasmi siku ya Jumatatu kutokana na kukosekana vifaa na kusababisha wasiwasi mkubwa kwa wananchi kukosa haki ya kupiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS