Serikali yazindua zoezi la uthamini mali Ludewa

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dr. Rehema Nchimbi.

Serikali imezindua rasmi zoezi la kuthaminisha mali za wananchi katika kijiji cha Mundindi wiyani Ludewa watakao hama maeneo wanayoishi kupisha utekelezaji wa mradi wa kuchimba chuma eneo la Liganga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS