Wakesha vituoni wakisubiri kuandikishwa BVR

Baadhi ya wanchi wakiwa katika kituo cha kujiandikisha

Zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Kagera linaendelea kusuasua ambapo leo ni siku ya sita wananchi wanalala usikukucha katika vituo vya kujiandikisha wakiwa wamepanga foleni bila mafanikio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS