Wananchi watakiwa kulinda hifadhi za taifa

Haya ni makundi makubwa ya Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Iringa ni hifadhi yenye mvuto mkubwa kwa wageni na watalii wa ndani pia kutembelea hifadhi

Serikali kwa kushirikiana na mradi wa kuimarisha maeneo yaliyohifadhiwa Kusini mwa Tanzania (Spanest) imewataka wananchi wanaoishi karibu na hifadhi za Taifa kuyalinda maeneo hayo ili yasiharibiwe na majangili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS