Mashindano ya Taifa ya wazi ya Tenisi kuanza kesho

Nchi alikwa za Zambia, Malawi, Burundi, Uganda na Kenya na wenyeji Tanzania zimehakiki ushiriki wa mashindano ya taifa ya wazi ya Tenisi Tanzania yanayotarajiwa kuanza hapo kesho Uwanja wa Gymkhana jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS