Lowassa arudisha fomu ya Urais CHADEMA

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema.

Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo nchini CHADEMA, Edward Lowassa leo amerejesha fomu aliyoichukua kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwa mgombea urais kupita chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS