Rais Kikwete Mgeni Rasmi wiki ya Nenda kwa usalama

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika mkoani Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS