Polisi kutoa tamko CCM kuzidisha muda wa kampeni

Kamishna wa operesheni mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Paul Chagonja

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema kuwa litatoa tamko la jeshi hilo juu ya Chama cha Mapinduzi kuzidisha muda wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za chama hicho wiki iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS