Polisi kutoa tamko CCM kuzidisha muda wa kampeni Kamishna wa operesheni mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Paul Chagonja Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema kuwa litatoa tamko la jeshi hilo juu ya Chama cha Mapinduzi kuzidisha muda wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za chama hicho wiki iliyopita. Read more about Polisi kutoa tamko CCM kuzidisha muda wa kampeni