Joh Banjo aikubali Bongo Fleva
Mtayarishaji muziki wa kimataifa kutoka Comoro, Joh Banjo ambaye kwa sasa yupo hapa nchini kikazi, ameshukuru watanzania kwa kuelewa kile anachofanya, hasa baada ya mafanikio makubwa ya rekodi alizofanya na wasanii wa hapa.