Nitawafikisha ICC viongozi wanaokiuka haki-Lowassa

Mgombea Urais kupitia chama cha Demekrasia na Maendeleo CHADEMA, ambae pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA,Mh. Edward Lowassaa akihutubia Wananchi walijitokeza jijini Mwanza.

Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambaye pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA,Mh. Edward Lowassa amasema atawafikisha viongozi wa Serikali ICC ambao wanakiuka haki za binadamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS