H_art Band walamba ubalozi Kenya

Kundi la muziki la H_art band la nchini Kenya

Kundi la muziki la H_Art The Band kutoka Kenya, baada kujivunia mafanikio makubwa katika muziki, limeanza kufaidi matunda ya ustaa wao baada ya kupata shavu la kuwa mabalozi wa bidhaa mpya ya chakula Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS