Yanga kuwasili wiki hii, yamsajili Bossou wa Togo
Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam ndani ya wiki hii kwa ajili ya kuendelea na maandalizi ya michuano ya ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC inayotarajiwa kupigwa Agosti 22 mwaka huu uwanja wa Taifa.