Yanga kuwasili wiki hii, yamsajili Bossou wa Togo

Vincent Bossou (kulia) akipambana na Didier Drogba wakati wa michuano ya kombe la Mataifa ya Afrika (CHAN) mechi iliyokuwa kati ya Togo na Ivory Coast kwenye dimba la Royal Bofokeng Stadium Januari 22, 2013 Rustenburg, Afrika Kusini

Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam ndani ya wiki hii kwa ajili ya kuendelea na maandalizi ya michuano ya ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC inayotarajiwa kupigwa Agosti 22 mwaka huu uwanja wa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS