Ismail Gambo ‘Kussi' (Kushoto ) na Omary Wayne (Kulia) waliochukulia na Majimaji kwa mkopo wakitokea Azam Fc
Timu ya Majimaji ya Songea mkoani Ruvuma imewasajili wachezaji wawili wa Azam FC beki Ismail Gambo ‘Kussi’ na kiungo Omary Wayne kwa mkopo wa muda mrefu wa msimu.