Majimaji yasajili wawili kutoka Azam FC

Ismail Gambo ‘Kussi' (Kushoto ) na Omary Wayne (Kulia) waliochukulia na Majimaji kwa mkopo wakitokea Azam Fc

Timu ya Majimaji ya Songea mkoani Ruvuma imewasajili wachezaji wawili wa Azam FC beki Ismail Gambo ‘Kussi’ na kiungo Omary Wayne kwa mkopo wa muda mrefu wa msimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS