BOT Kanda ya kati kubadilisha fedha Chakavu
Benki kuu ya Tanzania (BOT) kanda ya kati imesema kuwa kuanzia kesho Agosti 6 itabadilisha fedha zilichakaa kwa wakazi wa kanda hiyo kwenye banda lao la maonyesho lililopo kwenye viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma.