BOT Kanda ya kati kubadilisha fedha Chakavu

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu.

Benki kuu ya Tanzania (BOT) kanda ya kati imesema kuwa kuanzia kesho Agosti 6 itabadilisha fedha zilichakaa kwa wakazi wa kanda hiyo kwenye banda lao la maonyesho lililopo kwenye viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS